MWANAMKE mmoja mkazi wa Jimbo la Harari nchini Ethiopia amejifungua watoto watano kwa mara moja baada ya kuhangaika kutafuta mtoto kwa miaka 12, jambo lililoonekana kuwa adimu zaidi nchini humo. Mwana ...
VYAMA vya upinzani nchini Burundi ikiwemo CNL, UPRONA, CODEBU, DCP, na FRODEBU vimeonyesha nia ya kususia uchaguzi wa urais vikitaka kufanyika kwa mazungumzo ya kitaifa kwanza kama sharti la uchaguzi ...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa zamani wa Arusha, Godbless Lema, ameitaka serikali kuondoa kodi kwenye mafuta ya dizeli, ili yauzwe kwa bei ya chini ku ...
Kati ya kesi 197 za makosa mbalimbali yaliyokamatwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani katika kipindi cha mwezi Machi hadi April, 130 watuhumiwa wake wametiwa hatiani na kuhukumiwa. Hukumu za vifungo zi ...
Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) imezindua rasmi ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa 220kV kutoka Masasi hadi Mahumbika. Akizungumza Mei ...
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo, ameipongeza TANESCO kwa utayari wake wa kuhakikisha umeme unafika katika mradi wa ujenzi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa, unaotarajiwa kuongeza fursa za kiuchumi na ...
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imevunja rekodi yake ya makusanyo, ikikusanya zaidi ya Sh. trilioni 3.1 kwa mara ya kwanza ndani ya mwezi mmoja (Septemba mwaka huu). Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph ...
Mwanafunzi wa shahada ya uzamili kutoka Tanzania, Catherine Boniphace Nkumingi, ametunukiwa tuzo ya Taasisi kwa Ufaulu Bora wa Kitaaluma katika maadhimisho ya 67 ya Siku ya Taasisi ya Indian Institute ...
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amewataka watendaji, madaktari, wauguzi, wahudumu wa afya na wakuu wa taasisi zote zilizo chini ya wizara hiyo kutoa huduma kwa haki na lugha za staha kwa wananchi.
BAADA ya kuwapo kwa tetesi za kutakiwa na timu nyingine, kipa chaguo la kwanza la Timu ya Taifa ya Mali na Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, Djigui Diarra, amesema anapenda kuona anabakia na ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results